Tumbili anakiiba kinanda cha Mzee Tumbo. Anakitumia kinanda hicho kuwatumbuiza wanyama wa pori wanaofika kwenye himaya yake kila siku ili kusakata rumba wawili : wawili. Tumbili anajipata mashakani baada ya kubainika kuwa kinanda chake chenye mvuto wa sauti kilikuwa kifaa cha mzee Tumbo. Hukumu yake ilikuwa mijeledi ishirini kwa shtaka la – kwanza, na mijeledi mingine ishirini kwa shtaka la pili pamoja ,na kazi ya sulubu; Kazi ya Nyani na Tembo inadhihirika punde tu hukumu inapotolewa. Je, Tumbili atastahimili adhabu hiyo?
Soma hadithi ya Tumbili na Kinanda ufahamu kilichomfika Tumbili baada ya hukumu kutolewa kuhusu wizi alioutekeleza.
This series of Math Books is full of fun activities designed for early learners to develop pencil control and early writing skills. The books are an excellent foundation to help children confidently approach Math.
Children will learn to use addition and and subtract of 2-digit numbers where regrouping of Ones info tens is needed.
In addition, have fun learning Ordinal numbers and names of different positions in a group (first, second, tenth, etc.
This series of Math Books is full of fun activities designed for early learners to develop pencil control and early writing skills. The books are an excellent foundation to help children confidently approach Math.
Teach children multiplication tables the fun way. Start with the “easy” multiplication facts and graduaily complete all numbers up to 12. The children will have fun discovering how easy it is to learn and memorize the multiplication table from the multiplication chart.
MINISTRY OF EDUCATION –
UPPER PRIMARY LEVEL CURRICULUM DESIGNS
VOLUME THREE
SUBJECTS MATHEMATICS, SCIENCE AND TECHNOLOGY, AGRICULTURE, HOME SCIENCE & PHYSICAL AND HEALTH EDUCATION (PHE)