Uketo wa Ushairi Shule za Upili

In stock

Uketo wa Ushairi kwa Shule za Upili ni kitabu cha kipekee ambacho kimesheheneza tasnifu na maudhui mbali mbali ambayo yanahusu maisha kama vile: mapenzi, unyumba. kunasibu. kuhimiza. kuadabisha, kuelimisha. na kadhalika. Kitabu hiki kina maswali kemkem hususa kwa wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne katika shule za upili. ambao wanajiandaa kufanya mtihani wa kitaifa. Aidha, kitabu hiki kitakuwa na manufaa makubwa kwa wanafunzi katika vyuo vya ualimu wa shule za msingi na hata wanafunzi katika vyuo vikuu.

Category:

Reviews (0)

Be the first to review “Uketo wa Ushairi Shule za Upili”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

Uketo wa Ushairi Shule za Upili

Uketo wa Ushairi Shule za Upili