-
Made Familiar: Safari hatari Level 8
Azizi na majasusi chipukizi wenzake wamepata ufadhili wa kuzuru na kupiga kambi katika mbuga ya wanyama ya Kito. Huko, wanagundua kuwa kuna njama ya kuwinda vifaru waliohamishwa katika mbuga hiyo. Wanaamua kufanya uchunguzi ili kuwafichua na kuwanasa mgjangili. Je, vijana hawa chipukizi watawezaje kukabiliana na majangili waliojihami? Je, juhudi zao zitazaa matunda?
Kitabu hiki kinalenga kunoa ubunifu, uwazaji kina,ushirikiano pamoja na kujiamini miongoni mwa wasomaji lengwa. Vilevile, kinakuza utunzaji wa wanyama wa porini na mazingira kwa jumla jinsi inavyopendekezwa_ katika masomo kama vile Kiswahili, Agriculture na Social Studies.
KSh370.00Made Familiar: Safari hatari Level 8
KSh370.00 -
Made Familiar: What a Day! Level 8
Pauline looks forward to the most exciting event in the school calendar. As she prepares for the day, a new girl joins her class, and her world is filled with a surprising new friendship. The cutest boy in the grade also joins their group, and Pauline looks forward to the special occasion they are all planning for. But without warning, the events that begin to unfold are not at all what Pauline has anticipated. Is there a bully in their midst and is bullying going on around her? What is in store for Pauline?
This CBC Learner Support Material helps the learner to acquire and nurture key life skills and competences such as self-esteem, self-efficacy, peer mentorship, communication and collaboration. It also enhances the learning of Culture and Social organization as covered in Social Studies.
KSh370.00Made Familiar: What a Day! Level 8
KSh370.00 -
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 3
by MWALIMU KIPANDE
Stadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
KSh370.00 -
KLB Visionary IRE Learner’s Grade 5 (Approved)
by IBRAHIM
KLB Visionary Islamic Religious Education Grade 5 Learner’s Book is aimed at equipping the learner with knowledge, skills, competences, and desired attitudes that enhance morals, values, and spiritual development.
• It is developed in line with the requirements of Grade Five Competency-Based Curriculum design.
• The learning experiences are aligned with the thematic integrated approach thus presenting concepts in the most appropriate way for learners at this level.
• This book is majorly illustrated to enliven the content with the text following the design closely.
• It has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations in line with the Life Approach Method of teaching Religion.
• Every lesson draws experiences from learner’s day-to-day activities at home, school, or madrassa/dugsi.
• The book has numerous practical activities that enable the learner to acquire the required competences and skills without undue difficulty.
• Simple exercises like singing anashids, group discussions, reciting, and memorising verses of the Qur’an are integrated within the lessons to enhance active participation and enjoyment by the learner.KSh370.00 -
Growing in Christ CRE Activities Teachers Guide Grade 1
by Oxford
The Growing in Christ competency-based series is specially written to provide practical experiences that will build the learners’ knowledge and understanding of the Christian faith, as well as equip them with values. skills and attitudes that will assist them live well with self and others. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences and values as well as an appreciation of pertinent and contemporary issues. The Teachers’ Guide has a wealth of information and guidelines to enable the teacher guide the learners in developing the core competences. It supports teachers by offering the following:
• A detailed introduction to the New Competency-based Curriculum.
• Sample schemes of work and lesson plan to assist the teacher to plan the lessons.
• A detailed explanation of the content and activities to be covered in each lesson.
• Suggestions for extra activities.
• Answers. explanations and rubrics for assessment.
• Helpful hints on class management. group work and differentiated learning.
Together. the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the New Competency-based Curriculum.
Oxford. your choice for success!KSh370.00 -
KSh370.00
-
Practice Composition and Comprehension by Waihenya
- Controlled Vocabulary
- Exciting passages
- Stories from local environment
- Each worksheet is accompanied by a full colour illustration
- Child centered.
KSh370.00 -
Skyline CRE Workbook Pre-Primary 2 (Approved) by Ndirangu
by Ndirangu
Skyline Pre-Primary 2 CRE has been authored and prepared by experienced teachers. It is designed to help a child in attaining basic key skills.
° It covers the entire Pre-Primary 2 CRE Competency Based Syllabus as provided by Kenya Institute of Curriculum Development (KICD).
° The book has ample picture presentations to illustrate various concepts.
° It offers teaching areas topically and this helps the pupils attain skills with ease.
° It utilizes a learner’s friendly language and also has current information to help the pupils familiarize with the current affairs.
° The’ book also helps the learner in gaining of emotional, physical, spiritual, aesthetic and moral development skills.
° The book has ample practice on competency areas to help pupils in revision.
° Helps pupils apply creative, problem-solving and critical thinking skills.
° The book has various colourful pictures that help the pupils interact with competency areas.KSh370.00 -
Skyline CRE Workbook Pre-Primary 1 by Skyline Publishers
by Skyline Publishers
Skyline Pre-Primary 1 CRE has been authored and prepared by experienced teachers. It is designed to help a child in attaining basic key skills. It covers the entire Pre-Primary 1 CRE Competency Based Syllabus as provided by Kenya Institute of Curriculum Development (KICD).
The book has ample picture presentations to illustrate various concepts.
It offers teaching areas topically and this helps the pupils attain skills With ease. It utilizes a learner’s friendly language and also has current information to help the pupils familiarize with the current affairs.
The book also helps the learner in gaining of emotional, physical, spiritual, aesthetic and moral development skills.
The book has ample practice on competency areas to help pupils in revision.
Helps pupils apply creative, problem solving and critical thinking skills.
The book has various colourful pictures that help the pupils interact with competency areas.KSh370.00 -
Made Familiar: Vitendawili vya Juma na Bintiheri Level 8
Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya kuzuru) Malindi na maeneo mengine ya pwani. Wanaandamana na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanakuza ndoto zao kuhusu utunzaji wa mazingira na kujivunia utamaduni wao chanya. Wangjifunza mengi kuhusu historia ya jamii za pwani na wageni waliowahi kuzuru maeneo hayo miaka na mikaka iliyopita. Jiunge na binamu hawa katika ziara yao ya kusisimua ili ujifunze mengi na kuburudika.
Kitabu hiki kinalenga kunoa ubunifu) miongoni mwa wanafunzi, kuwachochea kushiriki katika utunzaji wa mazingira na kuwafunza kuhusu utamaduni na historia yao. Kwa hivyo, kitabu hiki kitafaa sana katika ufunzaji na ujifunzaji wa mada kama vile Natural and Built Environment, Historical Information na Early Civilization (Social Studies).
KSh365.00 -
Focus on CRE GD3 Trs (Approved)
by KIMAITA
Focus on Christian Religious Education Activities for Grade Three is part of a series of primary C.R.E. course books. This book is designed to cover the revised Christian Religious Education in the new Competency Based Curriculum.
The key features of this book are:
- Simple and easy to understand language.
- Adequate activities that help the learner to apply concepts learnt in their daily lives.
- Â Discussion tasks are used throughout the topics to develop creativity, problem solving, communication and self-confidence.
- Illustrations are widely used to enhance understanding of concepts.
- Â The use of life approach making the book learner centred.
This book has been developed by a team with a vast experience in Christian Religious Education. The authors have a strong background in teaching C.R.E. and curriculum development. Both are seasoned authors too.
This teacher’s guide has been provided to enable the teacher use the learner’s book.
KSh365.00Focus on CRE GD3 Trs (Approved)
KSh365.00
- International Curriculum
- TEXT
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- Donate













